by Rs Reporters on Tuesday 28 February 2012 02:24 PM
Viongozi mkoani Pwani wameunga mkono hatua ya badhi ya magereza kutaka kuwapunguzia vifungo wafungwa watakaofanya vyema katika mitihani ya kitaifa mwaka ujao.
Mwanaharakati wa kutetea haki za jamii mkoani Pwani Afya Rama amesema kuwa pendekezo hilo litawapa moyo vijana hao kuendeleza mais...Soma Zaidi |